KLABU ya Tanzania Prisons imepandisha wachezaji saba kutoka timu yake ya vijana chini ya umri wa miaka 20 kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara. Hao ni Kelvin Sengati, Ashraf Mbonde, Erick Mwambenja, Joah Mwakilema, Yohana Mgella, Evance Dalf na Ally Hamza.
0 comments:
Post a Comment