Winga wa kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva (kushoto) akipongezwa na wenzake wa Difaa Hassan El- Jadida baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa 3-1 jana dhidi ya Mouloudia Club of Oujda Uwanja wa El Abdi mjini Jadida.
Simon Msuva aliyesajiliwa Difaa Hassan El-Jadida wiki iliyopita kutoka Yanga ya Tanzania akiambaa na mpira kwenye mchezo huo
Simon Msuva akipiga mahesabu wakati wa mchezo huo
Sam Hartman, Jordan Travis' Top Landing Spots After Day 2 of 2024 NFL Draft
-
What a difference a day makes. The first round of the 2024 NFL draft on
Thursday night saw a total of six quarterbacks selected. The second and
third rounds…
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment