Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 41 na 63 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Latvia usiku wa jana Uwanja wa Skonto mjini Riga katika mchezo wa Kuni B kufuzu Kombe la Dunia. Bao lingine la Ureno lilifungwa na Andre Silva dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Suns' Frank Vogel 'Very' Confident He'll Remain HC Amid Rumors About Future
-
The Phoenix Suns season is currently on life support, but head coach Frank
Vogel is not worried about his job security. Prior to the Suns' Game 4
matchup…
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment