Ola Toivonen akishangilia na wachezaji wenzake wa Sweden baada ya kufunga bao la ushindi dhidi ya Ufaransa dakika ya 90 na ushei Uwanja wa Friends Arena mjini Solna katika mchezo wa Kundi A kufuzu Kombe la Dunia. Olivier Giroud alianza kuifungia Ufaransa dakika ya 37, kabla ya Jimmy Durmaz kuisawazishia Sweden dakika ya 43 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gary Neville slams Chelsea's 'mad' eight-year contracts - claiming they
make young players feel 'genuinely rich' and take away their motivation
-
Todd Boehly handed out lengthy deals to new arrivals during a £1billion
spending spree in the first transfer windows after he bought the club.
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment