Diego Souza akishangilia baada ya kuifungia Brazail bao la kwanza sekunde ya 11 tu katika ushindi wa 4-0 kwenye mchezo wa kirafiki jana dhidi ya wenyeji Australia Uwanja wa Kriketi wa Melbourne. Souza alifunga bao la nne pia dakika ya 90 na ushei, wakati mabao mengine ya Brazil yalifungwa na Thiago Silva dakika ya 62 na Taison dakika ya 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ten Hag happy for outcast Sancho after Dortmund win
-
Manchester United manager Erik ten Hag says he is happy for Jadon Sancho
after his stellar Champions League performance for Borussia Dortmund.
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment