Angel Di Maria akijikunja kuifungia Argentina bao la sita dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 6-0 dhidi ya wenyeji, Singapore jana Uwanja wa Taifa wa Singapore kwenye mchezo wa kirafiki. Mabao mengine yalifungwa na Fazio dakika ya 25, Correa dakika ya 31, Gomez dakika ya 60, Paredes dakika ya 74 na Alario dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jude Bellingham disagrees with Real Madrid team-mate Aurelien Tchouameni
over Bayern Munich star's ability... as he insists to the French
midfielder: 'He's better than your boy!'
-
Eyebrows were raised when the 30-year-old joined Thomas Tuchel 's side on
loan after falling out of favour at Tottenham following the appointment of
Ange P...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment