Wachezaji wa Ujerumani wakimpongeza Amin Younes (katikati) baada ya kufunga bao la nne dakika ya 38 katika ushindi wa 7-0 dhidi ya San Marino usiku wa Jumamosi Uwanja Nurnberg mjini Nurnberg kwenye mchezo wa Kundi C kufuzu Kombe la Dunia. Mabao mengine ya Ujerumani yamefungwa na Julian Draxler dakika ya 11, Julian Wagner matatu dakika za 16, 29 na 85, Shkrodan Mustafi dakika ya 47 na Julian Brandt 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The NEW hardest puncher in the world! Ex-World's Strongest Man winner Eddie
Hall breaks UFC star Alex Pereira's record on power-measuring machine
-
Former World's Strongest Man Eddie Hall has smashed the record for the
hardest punch ever, just two weeks after UFC star Alex Pereira set the last
benchmark.
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment