Wesley Sneijder akishangilia baada ya kuifungia Uholanzi bao la pili dakika ya 34 katika ushindi wa 5-0 kwenye mchezo wake wa 131 na timu yake hiyo ya taifa dhidi ya Luexbourg usiku wa jana Uwanja wa Feijenoord mjini Rotterdam katika mchezo wa Kundi A kufuzu Kombe la Dunia. Mabao mengine ya Uholanzi yalifungwa na Arjen Robben dakika ya 21, Georginio Wijnaldum dakika ya 62, Quincy Promes dakika ya 70 na Vincent Janssen dakika ya 84 kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Draft 2024: Round 1 Grades for Every Pick
-
The excitement for the 2024 NFL draft is palpable. It's not just fans,
whose hope for every draft pick knows no bounds. Even those within the
league are…
53 minutes ago
0 comments:
Post a Comment