Meneja Mkuu wa Azam FC, Abdul Mohammed (kulia) akimkabidhi jezi ya klabu hiyo kiungo, Salmin Hoza baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili akitokea Mbao FC ya Mwanza. Huyo anakuwa mchezaji wa tatu mpya kusajiliwa na timu ya Alhaj Sheikh Said Salim Awadh Bakhresa na familia yake ndani ya wiki moja, baada ya washambuliaji Waziri Junior kutoka Toto Africans ya Mwanza pia na Mbaraka Yussuf kutoka Kagera Sugar ya Bukoba
Hearts of Oak players are lining up Girls for fun- Former captain Amankwah
Mireku rips into stars after poor campaign
-
Former captain of Hearts of Oak, Amankwah Mireku has gone ballistic at he
current players of the club describing them as jokers following the team's
slump ...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment