• HABARI MPYA

    Saturday, May 12, 2012

    TALIB HILAL ALIPOKUTANA NA MBRAZIL WA STARS

    Aliyekuwa kocha wa timu za taifa za vijana Tanzania, Mbrazil Rodrigo Stockler kushoto, akiwa na kocha wa zamani wa Simba SC, Mtanzania aliyegeuka raia wa Oman, Talib Hilal walipokutana nchini Brazil katika Klabu Bingwa ya Dunia ya soka ya ufukweni, Talin kocha wa Al Ahly ya Dubai na Stockler ni kocha wa Vasco da Gama ya Brazil ya soka ya ufukweni.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TALIB HILAL ALIPOKUTANA NA MBRAZIL WA STARS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top