
Meneja wa Smirnoff
bwana Benjamin Mariki wa pili
kulia akikabidhi zawadi ya t-shirt ya Smirnoff kwa mmoja wa washiriki wa
tafrija fupi(cocktail party) iliyoandaliwa na kampuni ya bia ya Serengeti
kupitia kinywaji hicho jijini Dar mwishoni mwa wiki.

Meneja wa Smirnoff
bwana Benjamin Mariki wa pili
kulia akikabidhi zawadi ya t-shirt ya Smirnoff kwa Mkurugenzi wa kampuni ya
Ericsson hapa nchini katika tafrija fupi(cocktail party) iliyoandaliwa na
kampuni ya bia ya Serengeti kupitia kinywaji hicho jijini Dar mwishoni mwa
wiki.

Baadhi ya wageni waalikwa waliohudhuria katika tafrija fupi
(cocktail party)iliyoandaliwa na kampuni ya bia ya Serengeti mwishoni mwa wiki
wakifuatilia kwa umakini hatua mbalimbali za namna ya kuchanganya kinywaji aina
ya Smirnoff ili kutengeneza cocktail kama ilivyokuwa ilielekezwa na meneja wa
spiriti wa kampuni hiyo bwana Emilian Rwejuna (wapili kutoka kulia).

Baadhi ya wageni waalikwa waliohudhuria katika tafrija fupi
(cocktail party) ilioandaliwa na kampuni ya bia ya Serengeti kupitia kinywaji
cha Smirnoff kinachoingizwa na kusambazwa na kampuni hiyohapa nchini.


.png)
0 comments:
Post a Comment