Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Said Mussa akipasua katikati ya wachezaji wa Tusker FC ya Kenya katika mchezo wa kwanza wa michuano ya SportPesa Super Cup jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Yanga ilishinda kwa penalti 4-2 baada ya sare ya 0-0 ndani ya dakika 90
Said Mussa akimfunga tela James Situma wa Tusker FC jana
Kiungo wa Yanga, Yussuf Mhilu (katikati) akiruka kuwania mpira wa juu dhidi ya beki wa Tusker
Kiungo aliyetumika kama mshambuliaji Yanga jana, Juma Mahadhi akimiliki mpira mbele ya James Situma wa Tusker
Kikosi cha Yanga jana na chini ni kikosi cha Tusker FC ya Kenya
Field Yates Says Chiefs Picking Xavier Worthy Was Best Trade of 2024 NFL
Draft
-
The Kansas City Chiefs didn't move up the board too much to take Texas wide
receiver Xavier Worthy in the 2024 NFL draft, but it was the most savvy
deal so…
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment