Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Said Mussa akipasua katikati ya wachezaji wa Tusker FC ya Kenya katika mchezo wa kwanza wa michuano ya SportPesa Super Cup jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Yanga ilishinda kwa penalti 4-2 baada ya sare ya 0-0 ndani ya dakika 90
Said Mussa akimfunga tela James Situma wa Tusker FC jana
Kiungo wa Yanga, Yussuf Mhilu (katikati) akiruka kuwania mpira wa juu dhidi ya beki wa Tusker
Kiungo aliyetumika kama mshambuliaji Yanga jana, Juma Mahadhi akimiliki mpira mbele ya James Situma wa Tusker
Kikosi cha Yanga jana na chini ni kikosi cha Tusker FC ya Kenya
Hearts of Oak coach provides update on Glid Otanga ahead of Berekum Chelsea
clash following nose injury
-
Hearts of Oak assistant coach Abdul Rahim Bashiru has provided an update on
midfielder Glid Otanga's injury following a collision in their recent match
aga...
53 minutes ago
0 comments:
Post a Comment