Tyson Fury akishangilia baada ya kumshinda kwa Technical Knockout (TKO) raundi ya pili Mjerumani, Tom Schwarz katika pambano la uzito wa juu ngumi za kulipwa Alfajiri ya Jumapili ukumbi wa MGM Grand Arena mjini Las Vegas, Marekani. Baada ya ushindi huo, Tyson Fury maarufu kama Gypsy King atakuwa na pambano lingine mjini Las Vegas Septemba au Oktoba kabla ya kurudiana na Deontay Wilder mwaka mpya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tennis super fan who went viral for Emma Raducanu support is EVICTED from
Australian Open by police during Alex de Minaur match
-
The tennis super fan who became a viral sensation for his support of Brit
Emma Raducanu has experienced a complete backflip of fortunes after police
ejecte...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment