Tyson Fury akishangilia baada ya kumshinda kwa Technical Knockout (TKO) raundi ya pili Mjerumani, Tom Schwarz katika pambano la uzito wa juu ngumi za kulipwa Alfajiri ya Jumapili ukumbi wa MGM Grand Arena mjini Las Vegas, Marekani. Baada ya ushindi huo, Tyson Fury maarufu kama Gypsy King atakuwa na pambano lingine mjini Las Vegas Septemba au Oktoba kabla ya kurudiana na Deontay Wilder mwaka mpya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NCAA set to launch Nigeria’s first State safety programme to enhance
Aviation safety
-
From Sola Ojo, Abuja Nigeria’s aviation industry State Safety Programme
(SSP) document will soon be published as the Nigeria Civil Aviation
Authority (NC...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment