Tyson Fury akishangilia baada ya kumshinda kwa Technical Knockout (TKO) raundi ya pili Mjerumani, Tom Schwarz katika pambano la uzito wa juu ngumi za kulipwa Alfajiri ya Jumapili ukumbi wa MGM Grand Arena mjini Las Vegas, Marekani. Baada ya ushindi huo, Tyson Fury maarufu kama Gypsy King atakuwa na pambano lingine mjini Las Vegas Septemba au Oktoba kabla ya kurudiana na Deontay Wilder mwaka mpya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Santos latest midfielder considered by Man Utd
-
After missing out on Elliot Anderson and Mateus Fernandes, are
Bournemouth's Alex Scott and Chelsea's Andrey Santos now heading Man Utd's
list of midfield ...
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment