Marco Verratti akishangilia baada ya kuifungia Italia bao la ushindi dakika ya 86 ikitoka nyuma na kushinda 2-1 dhidi ya Bosnia kwenye mchezo wa Kundi J kufuzu Euro 2020 Uwanja wa Allianz mjini Torino. Bosnia walitangulia kwa bao la E. Džeko dakika ya 32 kabla ya L. Insigne kuisawazishia Italia dakika ya 49 na kwa ushindi huo kikosi cha Roberto Mancini kinafikisha pointi 12 katika mchezo wa nne na kuendelea kuongoza kundi hilo ikiizidi pointi tatu Finland inayofuatia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🏆 Champions League returns: all you need to know about the last 16
-
The UEFA Champions League enters its most exciting phase. After a draw that
resulted in matchups worthy of an early final, the 16 best teams on the
contine...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment