Nahodha Sergio Ramos akibusu nembo ya jezi wakati akishangilia baada ya kuifungia Hispania bao la kwanza kwa penalti dakika ya 64 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Sweden kwenye mchezo wa Kundi F kufuzu Euro 2020 Uwanja wa Bernabeu mjini Madrid. Mabao mengine ya Hispania yamefungwa na Álvaro Morata kwa penalti pia dakika ya 85 na Mikel Oyarzabal dakika ya 87 na kwa ushindi huo wanaendelea kuongoza wakifikisha pointi 12 katika mchezo wa nne, wakifuatiwa na Romania na Sweden zenye pointi saba kila moja baada ya kucheza mechi nne pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🏆 Champions League returns: all you need to know about the last 16
-
The UEFA Champions League enters its most exciting phase. After a draw that
resulted in matchups worthy of an early final, the 16 best teams on the
contine...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment