Wachezaji wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars chini ya Kocha Mbrazil, Marcio Maximo wakiwa mazoezini kwenye ufukwe wa Copacabana mjini Rio de Janeiro nchini Brazil mwaka 2007 kwenye kambi ya kujiandaa na mechi za kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika 2008 zilizofanyika nchini Ghana. Hata hivyo, timu hiyo haikufuzu.
Schwarber delivers as Phillies rally again to beat Giants 6-5 in 10 innings
for doubleheader sweep
-
PHILADELPHIA (AP) — Kyle Schwarber hit a tying double with two outs in the
ninth inning, Alec Bohm delivered with his glove and bat in the 10th, and
the Ph...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment