Wachezaji wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars chini ya Kocha Mbrazil, Marcio Maximo wakiwa mazoezini kwenye ufukwe wa Copacabana mjini Rio de Janeiro nchini Brazil mwaka 2007 kwenye kambi ya kujiandaa na mechi za kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika 2008 zilizofanyika nchini Ghana. Hata hivyo, timu hiyo haikufuzu.
76ers' Tyrese Maxey Talks Missed Fouls vs. Knicks in Game 2: 'We Can't
Dwell on That'
-
Tyrese Maxey says the Philadelphia 76ers can't dwell on the officiating
errors, confirmed by the NBA, that took place Monday during the Sixers'
Game 2 loss...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment