Wachezaji wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars chini ya Kocha Mbrazil, Marcio Maximo wakiwa mazoezini kwenye ufukwe wa Copacabana mjini Rio de Janeiro nchini Brazil mwaka 2007 kwenye kambi ya kujiandaa na mechi za kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika 2008 zilizofanyika nchini Ghana. Hata hivyo, timu hiyo haikufuzu.
Tax Ombud to launch Taxpayer’s Bill of Rights, Obligations
-
The Office of the Tax Ombud (OTO) has unveiled plans to launch a Taxpayer’s
Bill of Rights and Obligations aimed at strengthening fairness,
transparency ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment