Lionel Messi akiifungia Argentina bao la kusawazisha dakika ya 57 kwa penalti ikipata sare ya 1-1 na Paraguay iliyotangulia kwa bao la Richard Sanchez dakika ya 37 kwenye mchezo wa Kundi B michuano ya Kombe la Mataifa ya Amerika Kusini, Copa America usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Governador Magalhaes Pinto mjini Belo Horizonte, Minas Gerais. Kwa matokeo hayo. Kwa matokeo hayo, Argentina sasa inashika mkia ikiokota pointi ya kwanza katika mchezo wa pili, ikizidiwa wastani wa mabao na waalikwa, Qatar, huku Colombia ikiongoza kwa pointi zake sita ikifuatiwa na Paraguay pointi mbili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City host Liverpool, Port Vale face Chelsea - full FA Cup draw
-
League One Port Vale's reward for beating Sunderland in the FA Cup is a
quarter-final tie away to Chelsea, while Manchester City will host
Liverpool in a h...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment