Lionel Messi akiifungia Argentina bao la kusawazisha dakika ya 57 kwa penalti ikipata sare ya 1-1 na Paraguay iliyotangulia kwa bao la Richard Sanchez dakika ya 37 kwenye mchezo wa Kundi B michuano ya Kombe la Mataifa ya Amerika Kusini, Copa America usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Governador Magalhaes Pinto mjini Belo Horizonte, Minas Gerais. Kwa matokeo hayo. Kwa matokeo hayo, Argentina sasa inashika mkia ikiokota pointi ya kwanza katika mchezo wa pili, ikizidiwa wastani wa mabao na waalikwa, Qatar, huku Colombia ikiongoza kwa pointi zake sita ikifuatiwa na Paraguay pointi mbili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NEWCASTLE NOTEBOOK: The search for Dan Ashworth's replacement approaches
its final phase, Lewis Miley is set to miss the rest of the season... while
Toon stars celebrated Spurs win with the Wealdstone Raider!
-
CRAIG HOPE: Newcastle's players celebrated last Saturday's 4-0 win over
Tottenham in the company of The Wealdstone Raider, their unofficial minder
for the ...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment