// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
ANTHONY JOSHUA ACHAKAZWA MAREKANI, APIGWA KWA KO NA RUIZ - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEANTHONY JOSHUA ACHAKAZWA MAREKANI, APIGWA KWA KO NA RUIZ - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
ANTHONY JOSHUA ACHAKAZWA MAREKANI, APIGWA KWA KO NA RUIZ
Bondia Muingereza Anthony Joshua akiwa chini baada ya kuangushwa na mpinzani wake, Mmarekani mwenye asili ya Mexico, Andy Ruiz Jr Alfajiri ya leo ukumbi Madison Square Garden mjini New York kwenye pambano la uzito wa juu. Joshua amevuliwa ubingwa wa dunia wa uzito wa juu duniani baada ya kupigwa kwa Technical Knockout (TKO) raundi ya saba. Ruiz hajawahi kuangushwa kabla, lakini naye leo alikalishwa chini raundi ya tatu, kabla ya kuinuka na kuendelea. Joshua mwenye urefu wa futi sita atajaribu kurejesha mataji yake ya IBF, WBA na WBO katika pambano la marudiano Novemba. Hilo ni pambano la kwanza Joshua kupoteza baada ya kushinda mapambano yake yote 22 ya awali, 21 kwa knockout, wakati Ruiz mwenye urefu wa futi nne ameshinda pambalo la 32 na 22 kwa KO, huku akiwa amepoteza pambano moja piaPICHA ZAIDI GONGA HAPA
ISN appoints Young-Esumeh CEO
-
Internet Solutions Nigeria Limited (ISN) has announce the appointment of
Mrs. Oluwakemi Young-Esumeh as its new chief executive officer, effective
April ...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment