Lionel Messi akimpongeza Lautaro Martinez baada ya kuifungia bao la kwanza Argentina dakika ya 10 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Venezuela kwenye mchezo wa Robo Fainali michuano ya Copa America usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Jornalista Mario Filho, Maracana mjini Rio de Janeiro, Brazil. Bao la pili lilifungwa na Giovani Lo Celso dakika ya 74 na sasa Argentina itamenyana na Brazil katika Nusu Fainali Julai 3 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Schwarber delivers as Phillies rally again to beat Giants 6-5 in 10 innings
for doubleheader sweep
-
PHILADELPHIA (AP) — Kyle Schwarber hit a tying double with two outs in the
ninth inning, Alec Bohm delivered with his glove and bat in the 10th, and
the Ph...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment