Lionel Messi akimpongeza Lautaro Martinez baada ya kuifungia bao la kwanza Argentina dakika ya 10 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Venezuela kwenye mchezo wa Robo Fainali michuano ya Copa America usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Jornalista Mario Filho, Maracana mjini Rio de Janeiro, Brazil. Bao la pili lilifungwa na Giovani Lo Celso dakika ya 74 na sasa Argentina itamenyana na Brazil katika Nusu Fainali Julai 3 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Santos latest midfielder considered by Man Utd
-
After missing out on Elliot Anderson and Mateus Fernandes, are
Bournemouth's Alex Scott and Chelsea's Andrey Santos now heading Man Utd's
list of midfield ...
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment