Lionel Messi akimpongeza Lautaro Martinez baada ya kuifungia bao la kwanza Argentina dakika ya 10 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Venezuela kwenye mchezo wa Robo Fainali michuano ya Copa America usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Jornalista Mario Filho, Maracana mjini Rio de Janeiro, Brazil. Bao la pili lilifungwa na Giovani Lo Celso dakika ya 74 na sasa Argentina itamenyana na Brazil katika Nusu Fainali Julai 3 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Ferrari are DITCHING their iconic red colour - with a surprising
switch coming to Formula One in Miami next month
-
Ferrari will ditch their traditional red livery for 'fresh and unexpected
colours' at the Miami GP next month to celebrate the 70th anniversary of
their pr...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment