Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Ubelgiji dakika za 45 na ushei na 57 ikiichapa 3-0 Scotland kwenye mchezo wa Kundi I kufuzu Euro 2020 Uwanja wa Roi Baudouin mjini Brussels. Bao lingine lilifungwa na Kevin De Bruyne dakika ya 90 na ushei na kwa ushindi huo Ubelgiji inafikisha pointi 12 baada ya kucheza mechi nne ikiendelea kuongoza kundi hllo ikifuatiwa na Urusi yenye pointi tisa, Kazakhstan pointi sita sawa na Scotland, Cyprus pointi tatu na San Marino ambayo haina pointi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
LIV Golf boss pleads for '$250million from investors'... as bankruptcy
looms after Saudi Arabia pulled funding
-
LIV Golf is either headed for bankruptcy or a new business model, depending
on how the next several months play out following Saudi Arabia's decision
to st...
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment