Wachezaji wa Liverpool wakisherehekea na Kombe lao la Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kukabidhiwa kufuatia ushindi wa 2-0 dhidi ya Tottenham Hotspur, mabao ya washambuliaji Mmisri Mohamed Salah dakika ya pili kwa penalti na Mbelgiji mwenye asili ya Kenya, Divock Origi dakika ya 87 Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid, Hispania usiku wa jana. Hilo linakuwa taji la sita kwa Liverpool la Ligi ya Mabingwa, baada ya awali kulibeba misimu ya 1976–1977, 1977–1978, 1980–1981, 1983–1984 na 2004–2005 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Surprise Premier League star is Real Madrid's new 'number one target' as
the Spanish giants view William Saliba and Ibrahima Konate as too expensive
-
It is understood that the Galacticos' sporting directors are already
planning the squad for the next year and see the Premier League star as a
leading cont...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment