Wachezaji wa Liverpool wakisherehekea na Kombe lao la Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kukabidhiwa kufuatia ushindi wa 2-0 dhidi ya Tottenham Hotspur, mabao ya washambuliaji Mmisri Mohamed Salah dakika ya pili kwa penalti na Mbelgiji mwenye asili ya Kenya, Divock Origi dakika ya 87 Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid, Hispania usiku wa jana. Hilo linakuwa taji la sita kwa Liverpool la Ligi ya Mabingwa, baada ya awali kulibeba misimu ya 1976–1977, 1977–1978, 1980–1981, 1983–1984 na 2004–2005 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal make decision over Ethan Nwaneri's future amid interest from Fulham
and Everton - after star was left out of Community Shield squad
-
SIMON JONES: Premier League clubs such as Fulham and Everton have checked
on the 19-year-old earlier in the summer while RB Leipzig are among a raft
of Eur...
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment