• HABARI MPYA

    Friday, June 14, 2019

    HAZARD ATAMBULISHWA RASMI KUWA NYOTA MPYA WA REAL MADRID

    Rais wa Real Madrid, Florentino Perez akimkabidhi mchezaji mpya, Eden Hazard jezi ya klabu hiyo wakati wa utambulisho wake leo Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid baada ya kukamilisha uhamisho wake wa Pauni Milioni 150 kutoka Chelsea Mbelgiji huyo akisaini mkataba wa miaka mitano kwa mshahara wa Pauni 400,000 kwa wiki 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: HAZARD ATAMBULISHWA RASMI KUWA NYOTA MPYA WA REAL MADRID Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top