Rais wa Real Madrid, Florentino Perez akimkabidhi mchezaji mpya, Eden Hazard jezi ya klabu hiyo wakati wa utambulisho wake leo Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid baada ya kukamilisha uhamisho wake wa Pauni Milioni 150 kutoka Chelsea Mbelgiji huyo akisaini mkataba wa miaka mitano kwa mshahara wa Pauni 400,000 kwa wiki PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Schwarber delivers as Phillies rally again to beat Giants 6-5 in 10 innings
for doubleheader sweep
-
PHILADELPHIA (AP) — Kyle Schwarber hit a tying double with two outs in the
ninth inning, Alec Bohm delivered with his glove and bat in the 10th, and
the Ph...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment