Mshambuliaji Msenegal, Sadio Mane akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza leo dakika ya saba katika mchezo wa kirafiki wa Nusu Fainali Kombe la Audi dhidi ya wenyeji, Bayern Munich Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Mohamed Salah dakika ya 34 na Daniel Sturridge dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Giants' John Mara Expects to Retain Brian Daboll, Joe Schoen for 2025 NFL
Season
-
New York Giants owner John Mara emphatically stated Wednesday that the team
will not be moving on from general manager Joe Schoen and head coach Brian
Daboll…
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment