Mshambuliaji Msenegal, Sadio Mane akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza leo dakika ya saba katika mchezo wa kirafiki wa Nusu Fainali Kombe la Audi dhidi ya wenyeji, Bayern Munich Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Mohamed Salah dakika ya 34 na Daniel Sturridge dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nebraska star pitcher Jordy Frahm joins Cornhuskers coaching staff
following conclusion of her college playing career
-
Frahm was a four-time All-American with Oklahoma and Nebraska, winning two
Women's College World Series national championships with the Sooners.
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment