Mshambuliaji Msenegal, Sadio Mane akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza leo dakika ya saba katika mchezo wa kirafiki wa Nusu Fainali Kombe la Audi dhidi ya wenyeji, Bayern Munich Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Mohamed Salah dakika ya 34 na Daniel Sturridge dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The American nightmare! Birmingham City are staring relegation in the face
after the disastrous hiring and firing of Wayne Rooney in the first season
since the club's Tom Brady-fronted takeover
-
This was sold as the year Birmingham City would embrace the American Dream
but the reality is proving a nightmare as they stare relegation in the face
on t...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment