![]() |
| Mfungaji wa bao pekee jana, Geilson Santana Santos 'Jaja' katikati akiwa amepoga shuti |
![]() |
| Kiungo Hamisi Thabit akipiga pasi pembeni ya mabeki wa Thika |
![]() |
| Winga wa Simon Msuva kushoto akimtoka beki wa Thika United kabla ya kutoa krosi iliyozaa bao pekee jana |
![]() |
| Beki wa Yanga SC, Juma Abdul kushoto akimtoka beki mwenzake wa Thika |
![]() |
| Kiungo wa Yanga SC, Andrey Coutinho akienda chini baada ya kuchezewa rafu na mchezaji wa Thika jana |
![]() |
| Haruna Niyonzima akifanya yake jana |
![]() |
| Kikosi cha Yanga SC jana Taifa |










.png)
0 comments:
Post a Comment