• HABARI MPYA

    Thursday, September 25, 2014

    BEKI 'MNDAVA' ALIVYOMFANYA MESSI JANA BARCA IKILAZIMISHWA SARE NA MALAGA





    Beki wa Malaga, Weligton akimkwida mashavuni nyota wa Barcelona, Lionel Messi kabla ya kumsukuma chini, hadi akapewa kadi ya nano na refa Alejandro Hernandez, timu hizo zikitoka sare ya bila kufungana katika mchezo wa La Liga jana.
    Weligton strangles Messi and pushes him away late in the second half sparking protests
    A close up on Weligton and Messi during the incident on Wednesday night
    Baadaye Weligton alisema alimfanyia hivyo Messi kwa sababu alimtukana "mwana malaya"
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BEKI 'MNDAVA' ALIVYOMFANYA MESSI JANA BARCA IKILAZIMISHWA SARE NA MALAGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top