![]() |
Etikiama Agiti wa AS Vita |
Vigogo hao Kinshasa wanasonga mbele katika fainali itakayopigwa Oktoba kwa ushindi wa jumla wa 4-2, baada ya awali kuifunga Sfax kama jana katika mchezo wa kwanza mjini Kinshasa.
Mabingwa hao wa mwaka 1973 sasa wanasubiri mshindi wa jumla wa Nusu Fainali nyingine ya pili leo mjini Lubumbashi kati ya wenyeji TP Mazembe na ES Setif ya Algeria. Mazembe walifungwa 2-1 katika mchezo wa kwanza na leo wanahtaji ushindi wa 1-0 kuungana na Vita fainali.
0 comments:
Post a Comment