• HABARI MPYA

    Saturday, September 13, 2014

    SUNDERLAND YATOKA 2-2 NA SPURS


    Santiago Vergini akimvuta jezi Mousa Dembele wakati wa mechi ya Ligi Kuu ya England kati ya Sunderland na Tottenham Hotspur. Timu hizo zilitoka 2-2 Uwanja wa Light, mabao ya Sunderland yakifungwa na Adam Johnson na Harry Kane aliyejifunga, wakati ya Spurs yamefungwa na Nacer Chadli na Christian Eriksen.  
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SUNDERLAND YATOKA 2-2 NA SPURS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top