• HABARI MPYA

    Thursday, December 06, 2012

    ZANZIBAR ILIVYOKUFA KIUME LEO KAMPALA

    Beki wa Zanzibar, Aggrey Morris akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili kwa penalti, Uwanja wa Mandela, Namboole katika Nusu Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Tusker Challenge usiku wa leo. Zanzibar ilifungwa kwa penalti 4-2 na sasa itamenyana na Bara katika mchezo wa kusaka mshindi wa tatu Jumamosi.

    Khamis Mcha 'Vialli' akishangilia baada ya kuifungia Zanzibar bao la kwanza

    Adeyom Saleh Ahmed akimtoka beki wa Kenya, Joackins Atudo

    Nadir Cannavaro ameruka na kipa wa Kenya

    Mcha anapasua ukuta wa Kenya

    Mcha Vialli kamlamba mtu chenga, kamuacha chini anaambaa

    Suleiman Kassim 'Selembe' akipasua katikati ya msitu wa wachezaji wa Kenya

    Kocha wa makipa wa Zanzibar, Farouk Ramadhan akimpa maelekezo kabla ya mechi kipa Mwadini Ally

    Kikosi cha Zanzibar leo

    Kikosi cha Kenya leo

    Wachezaji wa Zanzibar wakiwa wametahayari baada ya kufungwa bao la pili la kusawazisha

    Mike Barasa wa pili kutoka kulia akishangilia bao lake la pili 

    Zanzibar wakisujudu baada ya kufunga bao la kwanza

    Kipa kaenda kulia, penalti ya Aggrey imetinga kushoto

    Aggrey akiwaongoza wenzake baada ya kufunga bao la pili  


    Jaku Juma akipambana


    Adeyom akimtoka beki wa Kenya

    Adeyom anajaribu

    Jaku Juma akipambana

    Aggrey ameruka na mtu

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: ZANZIBAR ILIVYOKUFA KIUME LEO KAMPALA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top