Mshindi wa jezi ya Manchester united kupitia shindano la Facebook ya Airtel bi.Seba Aggrey akionyesha jezi yake iliyosainiwa na wanachama wa timu hiyo aliyokabidhiwa katika ofisi za makao makuu ya Airtel jijini Dar Es Salaam baada ya kutangazwa mshindi.
Afisa uhusiano na matukio wa Airtel kushoto Dangio Kaniki akimkabidhi jezi ya Manchester United mshindi wa Facebook ya Airtel bi. Seba Aggrey alipotembelea makao makuu ya Airtel jijini Dar Es Salaam baada ya kuibuka mshindi .
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...