• HABARI MPYA

    Monday, December 24, 2012

    AZAM NA MWALI WAO UWANJA WA NDEGE WA NDJILI

    Nahodha wa Azam, Jabir Aziz Stima akiwa na Kombe la Hisani la FECOFA, Shirikisho la Soka la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Ndjili, Kinshasa, baada ya kukabidhiwa, kufuatia ushindi wa penalti 4-2 dhidi ya Dragons juzi Uwanja wa Martyrs mjini hapa. Azam FC ianaondoka leo saa 5:00 za hapa, sawa na saa 7:00 mchana za Afrika Mashariki, kurejea nyumbani Tanzania kwa furaha baada ya kutwaa taji hilo.

    Wachezaji na mwali wao Uwanja wa Ndege

    Wachezaji na mwali

    Uhuru Suleiman na beki la shughuli, David Mwantika
    Mfungaji bora wa mashindano Gaudence Mwaikimba
    Daktari Paulo Gomez
    Kocha Kali Ongala
    Kipre Balou
    Kipre Tchetche
      

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: AZAM NA MWALI WAO UWANJA WA NDEGE WA NDJILI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top