Football | Absa Premiership
| |
Benni Mc Carthy ang'ara akipiga mabao mawili
Katika mchezo huo, Benni McCarthy alifunga mabao mawili katika dakika za 60 na 90, wakati mabao mengine ya Pirates yalifungwa na Legwathi dakika ya 25 na Siyabonga Sangweni dakika ya 30.
Moroka Swallows, timu pekee iliyobakia kwenye mbio za ubingwa kuelekea mechi za mwisho leo, iliifunga Maritzburg United 1-0.
Santos itacheza mechi maalum ya kuwania kujinusuru kushuka daraja licha ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Jomo Cosmos.
Black Leopards iliifunga Ajax Cape Town mabao 3-1 na kufanikiwa kubaki Ligi Kuu.


.png)
0 comments:
Post a Comment