Askari watatu wa Jeshi la Polisi wakiwa wamemtia nguvuni shabiki mtanashati Uwanja wa Jamhuri, Dodoma wakati fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) Mei 27, mwaka huu, Simba ya Dar es Salaam ikishinda 2-1 dhidi ya Mbao ya Mwanza na kutwaa Kombe. Ilidaiwa shabiki huyo wa Simba alimtupia kitu kigumu shabiki wa Yanga aliyekuwa chini yake, lakini mbele ya askari alijitetea kwamba si yeye aliyefanya hivyo bali ni mtu mwingine aliyekuwa jirani yake
Referee chiefs' Howard Webb 'will admit Nottingham Forest SHOULD have had a
penalty in Everton defeat'... but Nuno Espirito Santo's side 'still face
FOUR FA charges' for publicly blasting officials
-
Howard Webb, the head of Premier League refereeing, will admit Nottingham
Forest should have had a penalty in their controversial defeat to Everton
earlier...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment