Mmiliki wa klabu ya African Lyon ya Dar es Salaam, Rahim Kangenzi ‘Profesa Zamunda’ akichangia mada katika kongamano la soka China 2017 maarufu kama “China Football Summit” lililofanyika Juni 1 na 2, mwaka huu mjini Guangzhou, China
Profesa Zamunda ambaye timu yake imeteremka Daraja kutoka Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu huu, akiwa na wanafunzi wa akademi ya Evergrande, ambayo ni kubwa kuliko zote duniani.
Profesa Zamunda akiwa na Rais wa akademi ya Evergrande, Liu Jiangnan
Revealed: Mason Greenwood's transfer price tag - and how Man United could
cash in - as Champions League giants hope to capitalise on chaos at
Marseille
-
Manchester United's summer transfer kitty could be boosted by a sell-on
clause for one of their former players.
8 hours ago


.png)
0 comments:
Post a Comment