Kipa wa pili wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Said Mohammed Mduda akifurahia kama kawaida yake benchi kabla ya kuanza kwa mchezo wa Kundi L kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2019 Cameroon dhidi ya Lesotho Jumamosi usiku wa Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1. Kipa huyo wa Mtibwa Sugar ya Morogoro anafahamika zaidi kwa tabasamu lake pana wakati wote, iwe kwa shida au raha
'Stupid rumours' need to stop - Pochettino
-
Chelsea manager Mauricio Pochettino says the "stupid rumours’ about his
future need to end but admitted that he does not know if he and his staff
will be a...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment