Kipa wa pili wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Said Mohammed Mduda akifurahia kama kawaida yake benchi kabla ya kuanza kwa mchezo wa Kundi L kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2019 Cameroon dhidi ya Lesotho Jumamosi usiku wa Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1. Kipa huyo wa Mtibwa Sugar ya Morogoro anafahamika zaidi kwa tabasamu lake pana wakati wote, iwe kwa shida au raha
Could 'massive' Munyua win spark darts boom in Kenya?
-
David Munyua became an instant cult hero at Alexandra Palace on Thursday
following a shock win over Mike de Decker at the PDC World Championship.
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment