• HABARI MPYA

    Sunday, September 07, 2014

    SIMBA SC NA GOR MAHIA KATIKA PICHA JANA TAIFA

    Mshambuliaji wa Simba SC, Mkenya Paul Kiongera kushoto akimtoka beki wa Gor Mahia ya Kenya, Harun Shakana kulia katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba SC ilishinda 3-0. 

    Mshambuliaji wa Simba SC, Emmanuel Okwi kushoto akipambana na mchezaji wa Gor Mahia, Patrick Onyango kulia

    Kiungo wa Simba SC, Shaaban Kisiga 'Malone' kushoto akimtoka beki wa Gor Mahia

    Kiungo wa Simba SC, Ibrahim Ajibu kulia akimtoka beki wa Gor Mahia 

    Winga wa Simba SC, Ramadhani Singano 'Messi' kulia akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Gor Mahia 

    Kiungo wa Simba SC, Uhuru Sulaiman akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Gor Mahia   

    Kiungo wa Simba SC, Awadh Juma akipasua katikati ya wachezaji wa Gro Mahia

    Kikosi kilichoanza Simba SC jana

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC NA GOR MAHIA KATIKA PICHA JANA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top