KOCHA wa Brazil, Dunga amemuita tena kikosini mshambuliajo Robinho jana kwa ajili ya michezo ya kirafiki dhidi ya Argentina na Japan mwezi ujao.
Mshambuliaji huyo aliachwa kwenye kikoi hicho cha Dunga mapema mwezi huu Brazil ilipojipima nguvu na Colombia na Ecuador, lakini baadaye aliongezwa kikosini kufuatia Hulk kuumia.
Brazil itacheza na Argentina Oktoba 11 huko Bird's Nest mjini Beijing na Japan siku tatu baadaye mjini Singapore.
0 comments:
Post a Comment