La kwanza la msimu; Mshambuliaji wa Everton, Romelu Lukaku akifumua shuti kufunga katika ushindi wa 2-0 dhidi ya West Bromwich Albion leo katika Ligi Kuu ya England. Hilo ni bao la kwanza la Lukaku msimu huu, baada ya kusajiliwa moja kwa moja na kocha Roberto Martinez kutoka Chelsea kufuatia kuichezea kwa mkopo timu hiyo msimu uliopita. Bao lingine la Everton lilifungwa na Kevin Mirallas.
Chile's Boric admits 'errors' in final address as president
-
STORY: :: Santiago, Chile / March 10, 2026
:: Chilean outgoing president Gabriel Boric admits to 'errors' during his
term in his final national address
...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment