La kwanza la msimu; Mshambuliaji wa Everton, Romelu Lukaku akifumua shuti kufunga katika ushindi wa 2-0 dhidi ya West Bromwich Albion leo katika Ligi Kuu ya England. Hilo ni bao la kwanza la Lukaku msimu huu, baada ya kusajiliwa moja kwa moja na kocha Roberto Martinez kutoka Chelsea kufuatia kuichezea kwa mkopo timu hiyo msimu uliopita. Bao lingine la Everton lilifungwa na Kevin Mirallas.
Animal welfare activists in Montenegro worry about horses in Europe's
scorching heat
-
PODGORICA, Montenegro (AP) — As a heat wave that baked western Europe
reached the Balkans this week, animal welfare activists in small Montenegro
have expr...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment