La kwanza la msimu; Mshambuliaji wa Everton, Romelu Lukaku akifumua shuti kufunga katika ushindi wa 2-0 dhidi ya West Bromwich Albion leo katika Ligi Kuu ya England. Hilo ni bao la kwanza la Lukaku msimu huu, baada ya kusajiliwa moja kwa moja na kocha Roberto Martinez kutoka Chelsea kufuatia kuichezea kwa mkopo timu hiyo msimu uliopita. Bao lingine la Everton lilifungwa na Kevin Mirallas.
Nigeria’s economy contracted in April, fell to 49.4 –CBN
-
• FG’s reforms only good on paper, says Methodist Church By Uche Usim
Nigeria’s economy slowed down in April 2026 after more than a year of
steady growth...
8 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment