• HABARI MPYA

    Saturday, September 13, 2014

    LUKAKU AFUNGA BAO LA KWANZA LA MSIMU EVERTON IKIUA 2-0


    La kwanza la msimu; Mshambuliaji wa Everton, Romelu Lukaku akifumua shuti kufunga katika ushindi wa 2-0 dhidi ya West Bromwich Albion leo katika Ligi Kuu ya England. Hilo ni bao la kwanza la Lukaku msimu huu, baada ya kusajiliwa moja kwa moja na kocha Roberto Martinez kutoka Chelsea kufuatia kuichezea kwa mkopo timu hiyo msimu uliopita. Bao lingine la Everton lilifungwa na Kevin Mirallas.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LUKAKU AFUNGA BAO LA KWANZA LA MSIMU EVERTON IKIUA 2-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top