La kwanza la msimu; Mshambuliaji wa Everton, Romelu Lukaku akifumua shuti kufunga katika ushindi wa 2-0 dhidi ya West Bromwich Albion leo katika Ligi Kuu ya England. Hilo ni bao la kwanza la Lukaku msimu huu, baada ya kusajiliwa moja kwa moja na kocha Roberto Martinez kutoka Chelsea kufuatia kuichezea kwa mkopo timu hiyo msimu uliopita. Bao lingine la Everton lilifungwa na Kevin Mirallas.
'Up there with Shankly' - How Klopp changed Liverpool
-
Football Focus' Dion Dublin and Shay Given, are joined by Redmen TV's Paul
Machin to discuss the legacy Jurgen Klopp leaves ahead of his final game as
Live...
47 minutes ago
0 comments:
Post a Comment