• HABARI MPYA

    Saturday, September 13, 2014

    BARCELONA YATAKATA, NEYMAR NA MESSI WAFUNGA MOJA KILA MMOJA LA LIGA

    Washindi; Mshambuliaji wa Brazil, Neymar akipongezana na Muargentina Lionel Messi baada ya kufunga bao la pili katika ushindi wa 2-0 wa Barcelona dhidi ya Athletic Bilbao katika La Liga Uwanja wa Camp Nou. Wawili ndiyo waliofunga mabao tote hayo leo, kocha Luis Enrique akiondoka na furaha Nou Camp.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BARCELONA YATAKATA, NEYMAR NA MESSI WAFUNGA MOJA KILA MMOJA LA LIGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top