Luis Suarez wa Barcelona akibinuka tik tak mbele ya wachezaji wa Real Sociedad katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Manispaaa ya Anoeta mjini Donostia-San Sebastián. Barcelona imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Luis Suarez dakika ya 63 na Ousmane Dembele dakika ya 66 wakati la Real Sociedad lilifungwa na Aritz Elustondo dakika ya 12 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City 2-1 Arsenal PLAYER RATINGS: Which 'genius' is the heartbeat of his
team? Who was 'monstrous' in the second-half? And whose 'erratic' efforts
cost his side?
-
JACK GAUGHAN AND ISAAN KHAN AT THE ETIHAD: With the Gunners six points
clear at the top of the table, City needed a win to put them in charge in
the title ...
39 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment