Luis Suarez wa Barcelona akibinuka tik tak mbele ya wachezaji wa Real Sociedad katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Manispaaa ya Anoeta mjini Donostia-San Sebastián. Barcelona imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Luis Suarez dakika ya 63 na Ousmane Dembele dakika ya 66 wakati la Real Sociedad lilifungwa na Aritz Elustondo dakika ya 12 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brittney Griner says US government should have got imprisoned marine Paul
Whelan in the trade for Russian arms deal Viktor Bout during teaser for ABC
interview that will air tomorrow
-
Phoenix Mercury star Brittney Griner says she was hoping that she wasn't
the only American being freed from a Russian prison in 2022.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment