Luis Suarez wa Barcelona akibinuka tik tak mbele ya wachezaji wa Real Sociedad katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Manispaaa ya Anoeta mjini Donostia-San Sebastián. Barcelona imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Luis Suarez dakika ya 63 na Ousmane Dembele dakika ya 66 wakati la Real Sociedad lilifungwa na Aritz Elustondo dakika ya 12 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Joshua stops Paul in six rounds in Miami mismatch
-
British heavyweight Anthony Joshua needs six rounds to stop boxing novice
Jake Paul, who spends much of the contest in survival mode.
36 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment