Chris Smalling akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Manchester United dakika ya 38 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Watford leo Uwanja wa Vicarage Road kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la kwanza la United lilifungwa na Romelu Lukaku dakika ya 35 wakati la Watford limefungwa na Andre Gray dakika ya 65 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
From retirement to records - another immortal Messi moment
-
Ten years after announcing he was quitting international football, Lionel
Messi is still breaking records for reigning World Cup champions Argentina.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment