Chris Smalling akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Manchester United dakika ya 38 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Watford leo Uwanja wa Vicarage Road kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la kwanza la United lilifungwa na Romelu Lukaku dakika ya 35 wakati la Watford limefungwa na Andre Gray dakika ya 65 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
JAMB releases results for second, third days of 2026 UTME
-
From Fred Ezeh, Abuja Joint Admissions and Matriculation Board (JAMB) has
announced the release of results of candidates who sat for the Unified
Tertiary...
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment