Chris Smalling akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Manchester United dakika ya 38 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Watford leo Uwanja wa Vicarage Road kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la kwanza la United lilifungwa na Romelu Lukaku dakika ya 35 wakati la Watford limefungwa na Andre Gray dakika ya 65 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ranking 76ers' Top Trade Targets After 2024 NBA Playoff Loss
-
Once again, the Philadelphia 76ers are heading into the NBA offseason
sooner than they would've liked. After advancing through the play-in
tournament, the…
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment