Chris Smalling akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Manchester United dakika ya 38 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Watford leo Uwanja wa Vicarage Road kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la kwanza la United lilifungwa na Romelu Lukaku dakika ya 35 wakati la Watford limefungwa na Andre Gray dakika ya 65 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England on brink of quickest Ashes surrender since 1921 as Pat Cummins and
Nathan Lyon put Australia on verge of victory
-
LAWRENCE BOOTH: Set a near-impossible 435 to prevent Australia from going
3-0 with two to play, and retaining the urn that has been theirs since
2017-18, E...
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment