Leroy Sane (kulia) akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya pili katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Fulham leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad leo. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na David Silva dakika ya 21 na Raheem Sterling dakika ya 47 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lakers Rumors: Ham Didn't Allow Reaves, D'Lo to Correct Mistakes Like
Prince, Reddish
-
In the aftermath of Monday's season-ending loss to the Denver Nuggets in
Game 5 of the NBA playoffs, Darvin Ham's decision-making with the roster
over the…
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment