Leroy Sane (kulia) akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya pili katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Fulham leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad leo. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na David Silva dakika ya 21 na Raheem Sterling dakika ya 47 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Drake bets $200,000 on Jake Paul to beat Anthony Joshua - with incredible
pay-out - and risks paddling him with his infamous 'curse'
-
Jake Paul doesn't need much help to make himself the unfancied option in
his Netflix mega-fight against Anthony Joshua - but Drake might have just
delivered.
46 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment