Leroy Sane (kulia) akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya pili katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Fulham leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad leo. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na David Silva dakika ya 21 na Raheem Sterling dakika ya 47 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
From retirement to records - another immortal Messi moment
-
Ten years after announcing he was quitting international football, Lionel
Messi is still breaking records for reigning World Cup champions Argentina.
6 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment