Wachezaji wa Manchester United wakirejea katikati kinyonge baada ya Wolves kusawazisha bao katika sare ya 1-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford leo. United walitangulia kwa bao la mchezaji wake mpya, kiungo Frederico Rodrigues Santos 'Fred' dakika ya 18 akimalizia pasi ya Mfaransa Paul Pogba, kabla ya Joao Moutinho kuisawazishia Wolverhampton dakika ya 53 akimalizia pasi ya mshambuliaji Mmexico, Raul Jimenez. Mchezo huo ulihudhuriwa na kocha wa zamani wa Mashetani Wekundu, Sir Alex Ferguson kwa mara ya kwanza tangu aripotiwe kuugua Mei mwaka huu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside Man United's Bilbao masterplan: Why they're staying away as long as
possible, how Ruben Amorim fine-tuned his squad and the players' massive
jackpot if they win Europa League final
-
NATHAN SALT: Spurs have metaphorically wrapped their stars in cotton wool,
given free tickets and flew out on Monday. Ruben Amorim and Manchester
United ha...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment