Wachezaji wa Manchester United wakirejea katikati kinyonge baada ya Wolves kusawazisha bao katika sare ya 1-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford leo. United walitangulia kwa bao la mchezaji wake mpya, kiungo Frederico Rodrigues Santos 'Fred' dakika ya 18 akimalizia pasi ya Mfaransa Paul Pogba, kabla ya Joao Moutinho kuisawazishia Wolverhampton dakika ya 53 akimalizia pasi ya mshambuliaji Mmexico, Raul Jimenez. Mchezo huo ulihudhuriwa na kocha wa zamani wa Mashetani Wekundu, Sir Alex Ferguson kwa mara ya kwanza tangu aripotiwe kuugua Mei mwaka huu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WWE SmackDown Results: Winners, Live Grades, Reaction, Highlights From
April 19
-
Welcome to Bleacher Report's live coverage of WWE SmackDown on April 19.
WrestleMania 40 may be behind us, but that doesn't mean things are slowing
down. T...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment