Gareth Bale akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Real Madrid dakika ya 58 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya AS Roma usiku wa Jumatano kwenye mchezo wa Kundi G Uwanja wa Santiago Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Francisco Roman Alarcon Suarez 'Isco' dakika ya 45 na Mariano Diaz dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal of years gone by would have cracked, but Mikel Arteta's side served
notice to Man City that they will fight them all the way and won't lose
their nerve after 3-2 Spurs win, writes OLIVER HOLT
-
OLIVER HOLT AT THE TOTTENHAM HOTSPUR STADIUM: Arsenal fans turned and
taunted their Spurs counterparts in the section beside them. Their joy was
unconfined.
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment