Gareth Bale akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Real Madrid dakika ya 58 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya AS Roma usiku wa Jumatano kwenye mchezo wa Kundi G Uwanja wa Santiago Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Francisco Roman Alarcon Suarez 'Isco' dakika ya 45 na Mariano Diaz dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wolves 0-1 Tottenham: Spurs earn first victory of the year thanks to late
Joao Palhinha strike - but it's NOT enough to climb them out of the
relegation zone as West Ham win
-
Stop the clock. After 118 days and 15 games in the Premier League under
three different managers, Tottenham have done it.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment