Erik Lamela (kushoto) akishangilia na Danny Rose (wa pili kushoto), Harry Kane (wa pili kulia) na Lucas Moura (kulia) baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la pili dakika ya 76 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Brighton & Hove Albion Uwanja wa The AMEX. Bao la kwanza la Spurs lilifungwa na Kane kwa penalti dakika ya 42 wakati la Brighton limefungwa na Anthony Knockaert dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gasperini: “I know how to make Roma stronger. If I have technical
responsibilities, it is right that I be satisfied.”
-
Gian Piero Gasperini, in a press conference, commented on the 2-0 victory
against Bologna thanks to goals from Malen and El Ayanoui. The Grugliasco
coach c...
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment