Kiungo Mfaransa, Paul Pogba akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Manchester United dakika za 35 na 44 kwa penalti katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji Young Boys usiku wa Jumatano Uwanja wa Suisse Wankdorf Bern mjini Bern, Uswisi katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa. Bao lingine alifunga Anthony Martial dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Something I've never seen in 50 years of watching football'
-
There was an unusual addition to Chelsea's huddle before their game against
Newcastle at Stamford Bridge - referee Paul Tierney.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment