Kiungo Mfaransa, Paul Pogba akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Manchester United dakika za 35 na 44 kwa penalti katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji Young Boys usiku wa Jumatano Uwanja wa Suisse Wankdorf Bern mjini Bern, Uswisi katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa. Bao lingine alifunga Anthony Martial dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aberdeen's top-flight status is at serious risk if this managerial debacle
doesn't get sorted out
-
The task of trying to defend the Scottish Cup was Aberdeen's last hope of
salvaging a truly dreadful season.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment