Mshambuliaji wa Lyon, Memphis Depay akijaribu kupiga shuti mbele ya beki wa Manchester City katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Etihad. Lyon ilishinda 2-1 jana, mabao yake yakifungwa na Maxwel Cornet dakika ya 26 na Nabil Fekir dakika ya 43 wakati la Man City limefungwa na Bernardo Silva dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Joey Barton bafflingly claims 'genetically modified' Lionel Messi should
have ASTERISK next to his titanic achievements due to the treatment the
World Cup winner received as child for rare growth hormone deficiency
-
Joey Barton has launched his latest tirade in the direction of Lionel Messi
, by claiming that there should be an asterisk to his name due to the
medical t...
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment