Mshambuliaji wa Lyon, Memphis Depay akijaribu kupiga shuti mbele ya beki wa Manchester City katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Etihad. Lyon ilishinda 2-1 jana, mabao yake yakifungwa na Maxwel Cornet dakika ya 26 na Nabil Fekir dakika ya 43 wakati la Man City limefungwa na Bernardo Silva dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Japan fight back twice to earn 2-2 draw with Netherlands
-
Japan produced a spirited comeback to hold Netherlands to a thrilling 2-2
draw in their opening Group F match at the 2026 FIFA World Cup in Dallas.
The p...
12 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment