Mshambuliaji wa Lyon, Memphis Depay akijaribu kupiga shuti mbele ya beki wa Manchester City katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Etihad. Lyon ilishinda 2-1 jana, mabao yake yakifungwa na Maxwel Cornet dakika ya 26 na Nabil Fekir dakika ya 43 wakati la Man City limefungwa na Bernardo Silva dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arne Slot hints Alisson could leave Liverpool this summer, with injury-hit
goalkeeper targeted by Juventus
-
Arne Slot has not ruled out the possibility of Alisson leaving Liverpool
this summer. The injury-hit No 1 goalkeeper, currently out of action yet
again for...
53 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment