Mshambuliaji wa Lyon, Memphis Depay akijaribu kupiga shuti mbele ya beki wa Manchester City katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Etihad. Lyon ilishinda 2-1 jana, mabao yake yakifungwa na Maxwel Cornet dakika ya 26 na Nabil Fekir dakika ya 43 wakati la Man City limefungwa na Bernardo Silva dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Thune says Senate to consider voting bill but pushes back on demands for
'talking filibuster'
-
WASHINGTON (AP) — Majority Leader John Thune said Tuesday that the Senate
will consider a bill to impose strict new proof-of-citizenship requirements
in el...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment