Cristiano Ronaldo wa akionyesha uwezo wake katika mchezo wa Serie A Juventus ikishinda 3-1 dhidi ya Napoli Uwanja wa Allianz mjini Torino. Ronaldo aliwasetia Mario Mandzukic kufunga bao la kwanza dakika ya 26 na Leonardo Bonucci la tatu dakika ya 76. Mandzukic alifunga pia la pili dakika ya 49, wakati bao la Napoli lilifungwa na Dries Mertens dakika ya 10 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olise tipped to follow Mbappé’s path at 2026 World Cup
-
Former France defender Gaël Clichy has backed Bayern Munich forward Michael
Olise to emerge as one of the standout players at the 2026 FIFA World Cup,
sa...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment