Cristiano Ronaldo wa akionyesha uwezo wake katika mchezo wa Serie A Juventus ikishinda 3-1 dhidi ya Napoli Uwanja wa Allianz mjini Torino. Ronaldo aliwasetia Mario Mandzukic kufunga bao la kwanza dakika ya 26 na Leonardo Bonucci la tatu dakika ya 76. Mandzukic alifunga pia la pili dakika ya 49, wakati bao la Napoli lilifungwa na Dries Mertens dakika ya 10 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aussie swimming champion Ariarne Titmus announces exciting new career after
quitting the pool for love
-
Ariarne Titmus retired from swimming late last year - and her EXCITING next
move has now been revealed
56 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment