Mshambuliaji Lionel Messi wa Barcelona akijaribu kupasua katikati ya wachezaji wa Athletic Club Bibao jana Uwanja wa Camp Nou katika mchezo wa La Liga uliomalizika kwa sare ya 1-1. Bilbao walitangulia kwa bao la beki Oscar Marcos Arana maarufu De Marcos dakika ya 41, kabla ya Munir El Haddadi Mohamed kuisawazishia Barca dakika ya 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tim Tszyu is left stunned by his giant opponent's 's**t' act just before
their world title fight: 'Professionals don't do that'
-
The Aussie will be giving away an amazing 23cm in height to his 197cm
rival, not to mention a huge reach advantage. But a detail in the
American's preparat...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment