Mwanasoka Bora wa Dunia, Luka Modric (kushoto) na Gareth Bale wakiwa hoi baada ya Real Madrid kufungwa bao la tatu wakilala 3-0 mbele ya Sevilla katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumatano Uwanja wa Ramon Sanchez Pizjuan mjini Sevilla. Mabao hayo yamefungwa na Andre Silva mawili dakika za 17 na 21 na Wissam Ben Yedder dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
KC Concepcion, who was mocked by vile trolls over his speech impediment, is
selected in NFL Draft first round
-
A week ahead of the Draft he went viral with a letter to NFL GMs in which
he opened up on the stutter and told teams: 'I'm the best receiver in this
draft....
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment