Mwanasoka Bora wa Dunia, Luka Modric (kushoto) na Gareth Bale wakiwa hoi baada ya Real Madrid kufungwa bao la tatu wakilala 3-0 mbele ya Sevilla katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumatano Uwanja wa Ramon Sanchez Pizjuan mjini Sevilla. Mabao hayo yamefungwa na Andre Silva mawili dakika za 17 na 21 na Wissam Ben Yedder dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sadio Mane MISSES a penalty for Al-Nassr with regular taker Cristiano
Ronaldo suspended... but the former Liverpool star recovers to net a brace
in the 3-1 win over Al Feiha
-
With a fightback win, and qualification for next season's AFC Champions
League secured, Ronaldo shared his congratulations to his teammates in a
post on so...
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment